Soko la SIDO lililoko mjini mbeya lashika moto kwenye mida ya saa mbili kasoro leo usiku tarehe 15. mpaka sasa haijafahamika chanzo cha moto huo japo kuwa zima moto wanajitahidi kuendelea kuuzima lakini moto bado ni mkubwa zaidi.
SOKO LA SIDO LASHIKA MOTO MJINI MBEYA.
Reviewed by Unknown
on
August 15, 2017
Rating: 5
No comments